DED MANOZA WA MOMBA AMKABIDHI MWENGE DED CHAUREMBO WA TUNDUMA



Na Ibrahim Yassin,Tunduma 

Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya Wil aya ya Momba Fabian Manoza leo Octoba 3 / 2025 na kumkabidhi mwenzake wa Tundum a tayari kwa kutembe lea miradi. 

Ded Manoza amemka bidhi Ded Chaurembo wakimbiza mwenge 6 pamoja na maafisa wengine baada ya mwenge huo jana kumulika miradi Halmashauri ya Momba.

Akiupokea mwenge huo mkurugenzi mten daji  wa halmas hauri ya mji  Tundum a Mariam Chaurembo amesema yupo tayari kuupokea mwenge huo.


Amesema  mwenge huo leo utakaguq na kuweka mawe ya msingi miradi 10 yenye thamani ya Bilioni 3.11 na utazunguka kilometa 84.5 .

Makabidhiano hayo yalisimamiwa na mkuu wa wilaya ya Momba Elias Mwandobo mbele ya mkimbiza mwenge kitaifa Ismail Ally Ussi. 




Comments

Popular posts from this blog

KAEGELE NA KAZUKAMWE WAIBUKA KIDEDEA KURA ZA MAONI CCM WILAYANI NKASI

DIWANI KATA YA KALA AFARIKI DUNIA KWA UGONJWA WA KIHARUSI

Mke wa Mchungaji wa kanisa la EAGT ajinyonga akihofia deni lake la fedha za kanisa